Sunday 11 January 2015

AZAM TV KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Msomaji,
Ingia katika kiungo hicho usoma nini JF inasema kuhusu kipindi nilichofanya na Azam TV kuhusu .ya Zanzibar.



Mahojiano Katika Azam Studios Kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar




Mtangazaji Mwabulambo Akimhoji Mwandishi Kuhusu Mapinduzi ya
Zanzibar Katika Kipindi Cha Morning Trumpet


KUTOKA JAMIIFORUMS

Default Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

Ndani ya Azam tv Mzee Mohamed Said akieleza mchango wa John Okello.Mambo mazito yanazungumzwa hapa,kumbe historia tuliofundishwa mashuleni ni full of lies.

Tumekua brainwashed na kutuaminisha kuwa mapinduzi yalitokea.Mzee Oscar Kambona ndio alisuka mpango mzima ukisimamiwa na Mwalimu Nyerere.Mzee Karume hakua na mchango wowote.

Mauaji ya Kimbari yalifanywa na mamluki kutoka bara wakiongozwa na John Okello.
Last edited by Rio Tinto; Today at 08:00.
Pasco likes this.



  1. #11   Report Post    
    Kimilidzo's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 3rd January 2011
    Posts : 1,243
    Rep Power : 18513768



    Likes Received
    478



    Likes Given
    49

    Default re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Azam Tv wamefikia hatua ya kumpa jukwaa la kuongelea huyo mfitini, mbaguzi na mdini aliyekubuhu MS. Unategemea Mkristo aliyewakomboa wazanzibari Mh John Okello atatendewa haki hapo? Azam Tv endeleeni kuangali wavaa vipedo peke yenu watu makini hatuangalii, bora Imaan Tv
    Pasco likes this.
  2. #12   Report Post    
    masatujr1985's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 27th October 2011
    Location : Anumbeye
    Posts : 1,085
    Rep Power : 685



    Likes Received
    215



    Likes Given
    63

    Default re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Jitahidi sana kusoma kitabu kifamikacho kama "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
  3. #13   Report Post    
    Ghosryder's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 6th July 2014
    Posts : 2,034
    Rep Power : 734



    Likes Received
    320



    Likes Given
    3

    Default re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Quote By Chakaza View Post
    Mohamed Said ndio yule anayetaka watu wa kizazi hiki waamini kila asemacho kuhusu siasa za wakati ule kabla ya uhuru na baada ya uhuru kama vile yeye pekee yake ndio aliyebaki hai.
    Huyo Mohamed Said ni msanii sana msiamini kila asemacho ana chuki na serikali.
    Pasco likes this.
  4. #14   Report Post    
    Msulibasi's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 2nd December 2014
    Posts : 796
    Rep Power : 465



    Likes Received
    169



    Likes Given
    40

    Default re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Imeoneshwa picha hapa ya mauaji ya kimbari, Mzee amesema hapakuwa na sababu ya mapinduzi maana hapakuwa na huo utofauti wa maisha kati ya weusi na waarabu. Ameelezea kuwa wapo waarabu waliokuwa wanazibua vyoo.Hakuna Mzanzibari aliyemuua mwenzie bali mamluki waliofika zanzibar wakiongozwa na Okelo.Huyu mzee amenifumbua sana maana juzi nilituma thread kuwa siyaelewi mapinduzi na leo nimeelewa vizuri.Huyu mzee amedai mapinduzi yamerudisha sana nyuma maendeleo ya Zanzibar maana walikua mbele kwenye kilimo, sector ya habari,uchukuzi nk.
    Pasco likes this.
  5. #15   Report Post    
    Kimilidzo's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 3rd January 2011
    Posts : 1,243
    Rep Power : 18513768



    Likes Received
    478



    Likes Given
    49

    Default

    Pasco and Bigirita like this.
  6. #16   Report Post    
    kivava's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 2nd April 2013
    Posts : 612
    Rep Power : 515



    Likes Received
    90



    Likes Given
    80

    Default

    Quote By Gagnija View Post
    And Azam TV is the only TV station of his choice. I can understand the reason.
    Stupidity at i'ts height!
    Pasco likes this.
  7. #17   Report Post    
    Mr.Venture's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 2nd January 2014
    Posts : 373
    Rep Power : 428



    Likes Received
    69



    Likes Given
    0

    Default Re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Maelezo ya yule aliyeandika kwaheri ukoloni kwaheri uhuru yanakinzana ya huyu mzee, sasa tuelewe lipi? Hiz ni propaganda za watu wasiopenda ki2 kinaitwa "muungano" kwaiyo wanatumia mbinu zote hasa "udini" kubomoa.
    Pasco likes this.
  8. #18   Report Post    
    Android 00's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 23rd May 2013
    Posts : 710
    Rep Power : 528



    Likes Received
    192



    Likes Given
    37

    Default Re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Kiukweli Zanzibar maisha yalikua ya Amani sana kabla la ya Mapinduzi, kuna vikundi vingi vilianzishwa hata vya Taarabu miaka 100 iliyopita na watu waliishi vizuri sana lakini imani ya dini ndio iliyosababishwa Waznz wavamiwe kama walivovamiva Uganda kwa visingizio vya kipuuzi
    Pasco likes this.
  9. #19   Report Post    
    CattleRustler's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 26th October 2013
    Posts : 678
    Rep Power : 499



    Likes Received
    192



    Likes Given
    85

    Default Re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Quote By Android 00 View Post
    Kiukweli Zanzibar maisha yalikua ya Amani sana kabla la ya Mapinduzi, kuna vikundi vingi vilianzishwa hata vya Taarabu miaka 100 iliyopita na watu waliishi vizuri sana lakini imani ya dini ndio iliyosababishwa Waznz wavamiwe kama walivovamiva Uganda kwa visingizio vya kipuuzi
    Kama unaamini Uganda nayo ilivamiwa kwasababu ya dini inabidi inabidi upelekw milembe. Kwa taarifa yako uganda ya idiamini ilikuwa inaungwa mkono na marekani na israel. Tatizo udini unakusababisha umtete idiamini kwasababu ni muislam japo alikuwa muuaji.
    What you do speaks so loudly that i cannot hear what you say !!
  10. #20   Report Post    
    Android 00's Avatar
    JF Senior Expert MemberArray
    Join Date : 23rd May 2013
    Posts : 710
    Rep Power : 528



    Likes Received
    192



    Likes Given
    37

    Default Re: Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John Okello

    Quote By CattleRustler View Post
    Kama unaamini Uganda nayo ilivamiwa kwasababu ya dini inabidi inabidi upelekw milembe. Kwa taarifa yako uganda ya idiamini ilikuwa inaungwa mkono na marekani na israel. Tatizo udini unakusababisha umtete idiamini kwasababu ni muislam japo alikuwa muuaji.
    Marekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu ukiona anaingia pahali popote analake jambo na ukikataa utakiona cha moto.
    Zipo nchi nyingi tuu za kiislamu kama Oman Waingereza ndio wasimaimizi wa mambo yote pale na Saudia ni Mmarekani lakini je pakitokea utofauti itakuaje tusubiri tutaona

No comments: