Msomaji,
Ingia katika kiungo hicho usoma nini JF inasema kuhusu kipindi nilichofanya na Azam TV kuhusu .ya Zanzibar.
Mahojiano Katika Azam Studios Kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar |
Mtangazaji Mwabulambo Akimhoji Mwandishi Kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar Katika Kipindi Cha Morning Trumpet KUTOKA JAMIIFORUMS Mzee Mohamed Said ndani ya Azam tv akimjadili John OkelloNdani ya Azam tv Mzee Mohamed Said akieleza mchango wa John Okello.Mambo mazito yanazungumzwa hapa,kumbe historia tuliofundishwa mashuleni ni full of lies. Last edited by Rio Tinto; Today at 08:00.
Pasco likes this.
|
No comments:
Post a Comment